NASAFI ZA KAZI UTUMISHI - 6/17/2015

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

OFISI YA RAIS

SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA

Kumb. Na EA.7/96/01/H/57 15 Juni, 2015

TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI

Sekretariati ya Ajira katika Utumishi wa Umma ni chombo ambacho kimeundwa kwa mujibu wa Sheria ya Utumishi wa Umma Na. 8 ya mwaka 2002 kama ilivyorekebishwa na Sheria Na. 18 ya mwaka 2007 kifungu 29(1). Kwa mujibu wa Sheria hiyo, chombo hiki, pamoja na kazi zingine kimepewa jukumu la kutangaza nafasi wazi za kazi zinazotokea katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Waajiri (Taasisi za Umma)

Katibu wa Sekretarieti ya Ajira Katika Utumishi wa Umma anakaribisha maombi ya Watanzania wenye sifa na uwezo wa kujaza nafasi 658 za kazi kwa waajiri mbalimbali.

1.0 BARAZA LA SANAA LA TAIFA (BASATA)

Baraza la Sanaa la Taifa ni shirika la Umma lililoundwa kwa sheria ya Bunge Na. 23 ya mwaka 1984. (Sheria ya kuunda upya Baraza la Sanaa la Taifa kwa kuunganisha Baraza la Sanaa la Taifa na Baraza la Muziki la Taifa na kufuta Sheria ya Baraza la Sanaa la Taifa ya mwaka 1974 na Sheria ya Baraza la Muziki la Taifa ya mwaka 1974 na kuweka utaratibu kuhusiana na mambo hayo.)

Kazi za Baraza la Sanaa la Taifa ni Kufufua, kukuza na kuendeleza kazi za sanaa ikiwa nI pamoja na Uhamasishaji, Usimamizi, Uimarishaji, Uratibu, Utafiti, na Ushauri wa kazi mbalimbali za Sanaa.

1.1 MKURUGENZI WA MITAJI – 1 POST 1.1.1 MAJUKUMU YA KAZI

Atawajibika kwa Katibu Mtendaji

AtaongozaIdara ya Mitaji

Ataandaa mkakati wa kuongeza mapato ya Baraza

Kutafuta fursa za misaada na wadhamini mbalimbali

Kuandaa mikutano na wadhamini na wafadhili mbalimbali

Kubainisha maeneo ya miradi ya wasanii inayoweza kunufaika na uadhamini /ufadhili

Kusimamia shughuli za uchangishaji wa fedha kwa hiari

Kushitikiana na wataalam wa uhamasishaji wamichango ya hiari katika utekelezaji wamipango ya Baraza

Kusimamia mchakato wa utoaji wamisaada kwa wasanii

Kufuatilia na kutathminimiradi inayofadhiliwa na Baraza

1.1.2 SIFA ZA MWOMBAJI

Elimu Shahda ya Uzamili katika fani ya Fedha, Uchumi au Mipango kutoka katika chuo kinachotambuliwa na Serikali

Uzoefu wakazi usiopungua miaka 8. Miaka 5 kati ya hiyo iwe katika nafasi za uongozi wa idara mbalimbali zilizo chini ya Taasisi za Umma

•  Ujuzi wa kompyuta

1.1.3 MSHAHARA

•  Mshahara PGSS 20

2.0  BARAZA LA KISWAHILI LA TAIFA (BAKITA)

Baraza la Kiswahili la Taifa (BAKITA) liliundwa kwa sheria ya Bunge Na. 27 ya mwaka 1967 na kufanyiwa marekebisho mwaka 1983. Kutokana na sheria hii Baraza ndilo mratibu wa kusimamia asasi na mawakala wote wanaokuza Kiswahili katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

2.1 AFISA UTUMISHI MWANDAMIZI II - (NAFASI 1)

2.1.1 MAJUKUMU YA KAZI

Kufuatilia na  kuweka pamoja kumbukumbu za watumishi wanaostaafu.

Kuandaa ikama na makisio ya mishahara ya watumishi wa Taasisi.

Kuandaa na kutekeleza  mipango ya mafunzo.

Kuhuisha Tange ya Baraza

Kuandika taarifa za utumishi na kuweka pamoja kumbukumbu sahihi za utumishi.

Kushughulikia taarifa za mishahara ya watumishi.

Kupanga na kuendesha utafiti kuhusu mahitaji ya watumishi na kuoanisha na uwezo wa kifedha uliopo.

Kuratibu uhuishaji wa miundo ya utumishi.

Kushauri juu ya mipango ya utoaji wa motisha.

Kushauri juu ya shughuli za utawala au uendeshaji wa ofisi

Kuratibu zoezi la tathmini ya uwazi ya utendaji kazi

Kutafsiri Sera na Nyaraka mbalimbali za kiutumishi.

2.1.2 SIFA ZA MWOMBAJI

Shahada ya Uzamili katika fani ya Utawala au Rasilimali Watu kutoka chuo cha elimu ya juu kinachotambuliwa na Serikali.

Uzoefu wa kazi hiyo usiopungua miaka mitano.

Uwezo wa kutumia Kompyuta.

Amefanya na kufaulu mtihani wa sheria wa Maofisa Utawala (Qualifying Law Examination for Administrative Officers) au mtihani wa Maofisa Utumishi (Proficiency Human Resources Management Examination).

3.0 TUME YA HAKI ZA BINADAMU NA UTAWALA BORA

3.1 AFISA UCHUNGUZI DARAJA LA II- NAFASI 4 (PEMBA NAFASI 1 NA ZANZIBAR NAFASI 3)

3.1.1 MAJUKUMU YA KAZI

Kuhoji walalamikaji

Kuandaa barua za kuwajibu walalamikaji na walalamikiwa

Kufuatilia malalamiko na kushauri juu ya hatua za kuchukuliwa

Kutoa ushauri nasaha kwa walalamikaji

3.1.2 SIFA ZA MWOMBAJI

Mwenye Shahada ya kwanza ya Sheria kutoka vyuo vikuu au vyuo vingine vinavyotambulika na Serikali au wenye shahada ya kwanza ya Sayansi ya Jamii.

Wenye shaada ya sheria watapewa kipaumbele zaidi. Aidha anapaswa kuwa na ujuzi wa kutumia kompyuta.


4

3.1.3 MSHAHARA

Ngazi ya Mshahara TGS D

4.0 WIZARA, IDARA ZINAZOJITEGEMEA NA WAKALA ZA SERIKALI


4.1 FUNDI SANIFU DARAJA LA II - MAJI - (TECHNICIAN GRADE II - WATER) – NAFASI 30

4.2 MAJUKUMU YA KAZI

Ukusanyaji na ukaguaji wa takwimu za maji

Kutunza takwimu za maji

Kuingiza takwimu za maji kwenye fomu Na: H: 12 tayari kwa kutumiwa kwenye michoro

Kuchora hydrograph za maji

Utengenezaji visima vya rekoda, stendi za winchi, sinia za maji ‘cable way post” n.k.

Kufanya matengenezo ya vifaa  vyote vya kupimia maji na hali ya hewa

Kuingiza takwimu kwenye kompyuta

Kufundisha wasoma vipimo

4.3 SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa Wahitimu wa vyuo vya ufundi vinavyotambuliwa na Serikali ambao wana cheti cha ufundi ( FTC) au Stashahada ya Rasilimali za Maji na wenye ujuzi wa kutumia kompyuta.

4.4 MSHAHARA

Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS C kwa mwezi


5.1 FUNDI SANIFU RAMANI UPIMAJI PICHA(PHOTOGRAMMETRY)– NAFASI 2 5.1 MAJUKUMU YA KAZI

Kuwianisha picha za anga na ramani na kutayarisha ‘photo index’

Kutunza kumbukumbu za picha picha za anga na ramani za photogrammetria

Kuhudumia wateja wa picha za anga na ramani za photogramemetria

Kutunza kumbukumbu za uchoraji wa ramani

Kuchora ramani katika katika uwiano mbalimbali

5.2 SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa wahitimu wa Kidato cha Nne au Kidato cha Sita wenye mchepuo wa mafunzo ya ufundi ya miaka miwili katika fani ya Ramani (Upimaji Picha (Photogrammetry) katika Vyuo vinavyotambuliwa na Serikali.

5.3 MSHAHARA
•  Kwa kuzingatia viwango vya Serikali yaani ngazi ya Mshahara TGS.C kwa mwezi.


6.0 AFISA USHIRIKA DARAJA LA II (COOPERATIVE OFFICER GRADE II) – NAFASI 30

6.1 MAJUKUMU YA KAZI

Kukagua vyama vya Ushirika vya Msingi vinavyoendesha miradi ya pamoja ( Jointy Venture )

Kuhamasisha uanzishaji wa vyama vya Ushirika vya Msingi.

Kukusanya na kuchambua takwimu zinazohusu Masoko katika Mkoa.

Kutoa ushauri juu ya uendeshaji wa Vyama vya Ushirika vya Msingi

Kuratibu/kushiriki katika Elimu ya Ushirika Shirikishi katika vyama vya ushirika vya Msingi.

6.2 SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa wenye Shahada ya kwanza au Stashahada ya Juu (Advanced Diploma)

katika fani ya Ushirika (Cooperative management and accounting), Business Relation and Marketing, Marketing Research, Business Administration in Marketing, Banking and Finance, Accountancy, Finance Management, Cooperative Accounting, (Commerce in Economics) Saccos Management kutoka vyuo vinavyotambulika na Serikali.

6.3 MSHAHARA

•  Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS D kwa mwezi.


7.0 MHANDISI DARAJA LA II - UJENZI (ENGINEER GRADE II – CIVIL) – (NAFASI 25)

7.1 MAJUKUMU YA KAZI

Atafanya kazi chini ya uangalizi wa Mhandisi aliyesajiliwa (Professional engineer) na bodi ya usajili ya Wahandisi ili kupata uzoefu unaotakiwa.

Kufanya ukaguzi wa Barabara, Madaraja na Majengo mbalimbali

Kuchunguza vyanzo vya ajali barabarani

Kufuatilia utekezaji wa Sheria, Kanuni za ujenzi wa Barabara na Majengo

Kutayarisha bajeti ya mwaka ya Ujenzi na matengenezo ya Barabara, Madaraja na Majengo

Kusimamia na kuratibu kazi za Barabara, Madaraja na Majengo zinazotolewa na makandarasi

7.2 SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa wenye Shahada/Stashahada ya Juu ya Uhandisi kutoka Vyuo Vikuu vinavyotambuliwa na Serikali katika fani ya Uhandisi Ujenzi.

7.3 MSHAHARA

•  Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS E kwa mwezi.


8.0 AFISA UFUGAJI NYUKI DARAJA LA II (BEEKEEPING OFFICER GRADE II) – NAFASI 15

8.1 MAJUKUMU YA KAZI

• Kusimamia uanzishaji wa hifadhi za nyuki na manzuki. • Kutangaza Sera na Sheria za ufugaji nyuki.

•  Kufundisha masomo ya fani ya ufugaji nyuki.

• Kukusanya takwimu za rasilimali na ufugaji nyuki. • Kupanga na kupima ubora wa mazao ya nyuki.

8.2 SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa wenye Shahada katika fani ya Ufugaji Nyuki au Sayansi ya Elimu ya Mimea, Elimu ya Wadudu au Elimu ya Wanyama kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam au Vyuo vingine vinavyotambuliwa na Serikali.

8.3 MSHAHARA

•  Kwa kuzingatia viwango vya Serikali yaani ngazi ya Mshahara TGS.D kwa mwezi

9.0 AFISA MIFUGO DARAJA LA II (LIVESTOCK OFFICER II) – NAFASI 15

9.1 MAJUKUMU YA KAZI

Atabuni mipango ya uzalishaji mifugo wilayani.

Ataratibu uzalishaji wa mifugo katika mashamba makubwa ya mifugo.

Atasaidia kuratibu mipango ya ugani kuhusiana na uzalishaji wa mifugo wilayani.

Ataratibu na kuendesha mafunzo ya ufugaji bora, usindikaji wa mazao ya mifugo kwa wataam wa mifugo na wafugaji.

Atafanya mapitio na marekebisho ya miundo ya masoko ya mifugo wilayani kwake na mkoani.

Atabuni, kuanzisha na kutekeleza miradi ya maendeleo ya mifugo wilayani.

Atafanya soroveya ya rasilimali (resource survey) kama vile mifugo, vyakula vya mifugo, malisho n.k. katika eneo lake la kazi.

Ataendesha mafunzo kwa Mawakala, wauzaji na wataalam juu ya njia salama katika kuweka na kusambaza pembejeo za mifugo.

Atatafiti maeneo mapya yanayofaa kwa ufugaji wa mifugo mbalimbali

Atafanya utafiti juu ya uharibifu wa mazingira katika wilaya.

Atashiriki katika shughuli za kudhibiti milipuko ya wanyama/viumbe waharibifu wa malisho.

Ataandaa taarifa ya jumla juu ya maendeleo ya mifugo.

Atafuatilia, kuweka, kuchambua na kutafsiri takwimu za uzalishaji wa mifugo.

Atafanya kazi nyingine zinazohusiana na fani yake kama atakavyoelekezwa na mkuu wake wa kazi.

9.2 SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa wenye shahada ya kwanza (bachelor degree) ya sayansi ya Mifugo (Animal Science) kutoka Chuo Kikuu kinachotambuliwa na Serikali au sifa inayolingana nayo.

9.3 MSHAHARA

Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali TGS D kwa mwezi


10.1 AFISA WA SHERIA DARAJA LA II (LEGAL OFFICER GRADE II) – NAFASI 10 10.1 MAJUKUMU YA KAZI

Kutoa ushauri na kufanya utafiti wa kisheria pale anapohitajika kulingana na Wizara, Idara ya Serikali ama sehemu aliko.

Kufanya mawasiliano na ofisi nyingine kuhusu masuala ya kisheria kwa maelekezo ya Maafisa wa Sheria walio katika ngazi za juu.

10.2 SIFA ZA MWOMBAJI
Kuajiriwa wenye shahada ya kwanza ya Sheria kutoka vyuo vinavyotambuliwa na
Serikali  na  waliomaliza  mafunzo  ya  uwakili  yanayotambuliwa  na  Ofisi  ya
Mwanasheria Mkuu wa Serikali.
10.3 MSHAHARA

Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS E kwa mwezi

11.1 AFISA HABARI II – (INFORMATION OFFICER II) NAFASI 15

11.1 MAJUKUMU YA KAZI

Kukusanya na kuandika habari.

Kupiga picha.

Kuandaa picha za maonyesho.

Kuandaa majarida na mabango (Posters).

Kukusanya takwimu mbalimbali.

Kuandaa majarida na vipeperushi.

Kuhifadhi picha na kuhudumia maktaba na marejeo.

11.2 SIFA ZA MWOMBAJI

Awe na Shahada ya Kwanza au Stashahada ya Juu ya Uandishi wa Habari au sifa inayolingana nayo kutoka chuo kinachotambuliwa na Serikali.

11.3 MSHAHARA

Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS D kwa mwezi.


12.1 FUNDI SANIFU DARAJA LA II (UJENZI) - (CIVIL TECHNICIAN GRADE II) – NAFASI 25

12.1 MAJUKUMU YA KAZI

Kufanya kazi za ujenzi wa kuta za nyumba na kupaka rangi na kufunga mabomba;

Kuchonga vifaa vya nyumba za serikali ikiwa ni pamoja na samani “furniture”;

Kufanya kazi za upimaji (survey) wa barabara, majengo na mifereji kama atakavyoelekezwa;

Kuwapangia kazi Mafundi sanifu wasaidizi na kuhakikisha wanamaliza kama ilivyopangwa.

12.2 SIFA ZA MWOMBAJI

Waliohitimu kidato cha VI na kufuzu mafunzo ya ufundi ya miaka miwili kutoka Chuo kinachotambuliwa na Serikali katika moja ya fani za ufundi.

Waliohitimu kidato cha IV na kufuzu kozi ya ufundi ya miaka mitatu kutoka Vyuo vya Ufundi vinavyotambuliwa na Serikali katika mojawapo ya fani za ufundi,

Wenye Cheti cha Majaribio ya Ufundi hatua ya I kutoka Chuo cha Ufundi kinachotambuliwa na Serikali,

Wenye Stashahada ya Kawaida katika fani za ufundi kutoka Chuo kinachotambuliwa na Serikali.

12.3 MSHAHARA

Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS C kwa mwezi


13.1 FUNDI SANIFU DARAJA LA II - UFUNDI NA UMEME (TECHNICIAN GRADE II MECHANICS & ELECTRICAL) – NAFASI 12

13.2 MAJUKUMU YA KAZI
Kufanya ukaguzi wa ubora wa magari ya Serikali na kurekebisha ipasavyo.

Kufanya upimaji wa Mitambo na Umeme kufuatana na Maelekezo ya Mhandisi.

Kufanya kazi za kutengeneza  mitambo, magari,na vifaa vya Umeme

Kufanya usanifu wa miradi midogo midogo ya umeme

Kusimamia jinsi ya kufunga mashine mpya zinazowekwa kwenye karakana za ufundi na Umeme.

13.3 SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa wenye mojawapo ya sifa zilizotajwa hapa chini:

Waliohitimu kidato cha VI na kufuzu mafunzo ya ufundi ya miaka miwili kutoka Chuo kinachotambuliwa na Serikali katika moja ya fani za ufundi.

Waliohitimu kidato cha IV na kufuzu kozi ya ufundi ya miaka mitatu kutoka Vyuo vya Ufundi vinavyotambuliwa na Serikali katika mojawapo ya fani za ufundi,

Wenye Cheti cha Majaribio ya Ufundi hatua ya I kutoka Chuo cha Ufundi kinachotambuliwa na Serikali,

Wenye Stashahada ya Kawaida katika fani za ufundi kutoka Chuo kinachotambuliwa na Serikali.

13.3 MSHAHARA

Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS C kwa mwezi

14.0 DEREVA DARAJA LA II (DRIVER II) – NAFASI 23

14.1 MAJUKUMU YA KAZI

Kuendesha magari ya abiria, magari madogo na malori

Kuhakikisha gari na vyombo vyake vipo katika hali nzuri wakati wote, na kufanya uchunguzi wa gari kabla na baada ya safari ili kugundua ubovu unaohitaji matengenezo,

Kufanya matengenezo madogo madogo katika gari,

Kutunza na kuandika daftari la safari “Log-book” kwa safari zote.

14.2 SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa wenye Cheti cha Mtihani wa Kidato cha IV, Wenye Leseni daraja la “C” ya uendeshaji pamoja na uzoefu wa kuendesha magari kwa muda usiopungua miaka mitatu bila kusababisha ajali na wenye Cheti cha Majaribio ya ufundi Daraja la II.


14.3 MSHAHARA

Kwa kuzingatia viwango vya Serikali ngazi ya Mshahara TGOS.A kwa mwezi.


15.1 MHANDISI KILIMO DARAJA LA II (AGRO – ENGINEERS) – NAFASI 12 15.1 MAJUKUMU YA KAZI.

Kuandaa program za mafunzo kwa wakulima kutumia zana za kilimo,
Kushiriki katika kufundisha wakulima na matumizi bora ya zana,
Kushiriki kutengeneza michoro/ramani za umwagiliaji,
Kushiriki katika ujenzi wa miradi ya umwagiliaji,

Kushirikiana na mafundi sanifu kuwafunindisha wakulima uendeshaji wa skimu za umwagiliaji,
Kukusanya takwimu za miradi ya umwagiliaji,

Kushiriki kuratibu na kutoa huduma za umwagiliaji kwa vikundi vya umwagiliaji pamoja na matumizi ya maji,

10

Kuandaa mafunzo/maonyesho ya matumizi ya za za kilimo,

Kufuatilia program za mafunzo ya wanyama kazi, mafundi wa matrekta na wakulima jinsi ya matumizi ya wanyama na matrekta,
Kuwafundisha wakulima ujenzi wa vihengo bora na

Kushughulikia ubora wa zana na kuwashauri waagizaji na watengenezaji ipasavyo.

15.2 SIFA ZA MWOMBAJI
Kuajiriwa wenye shahada ya kwanza (Bachelor of Science in Agro-Processing/
Bio Processing Engineering, Bachelor of Science in Mechanization Engineering)
ya uhandisi yenye mwelekeo mkubwa katika fani ya Kilimo cha umwagiliaji na
cha zana kutoka Chuo Kikuu kinachotambuliwa na Serikali.
15.3 MSHAHARA

Kwa kuzingatia viwango vya Serikali yaani ngazi ya Mshahara TGS EKwa mwezi.

16.1 MHIFADHI WANYAMAPORI II – NAFASI 15

16.1 MAJUKUMU YA KAZI

Kufanya doria ndani na nje ya maeneo ya hifadhi au mbuga za wanyama

Kusimamia utekelezaji wa utaratibu wa uwindaji na utalii

Kulinda binadamu na mali zake dhidi ya wanyama hatari.

Kukusanya na kulinda nyara za Serikali

Kufanya usafi na ulinzi

Kubeba na kutunza vifaa vya doria

Kudhibiti uingiaji na utokaji wa watu na mali kwenye hifadhi

Kutunza vielelezo vya ushahidi vya nyara

Kudhibiti wanyamapori waharibifu

Kukagua vibali na leseni za matumizi ya wanyamapori.

Kudhibiti mioto mikali kwenye mapori.

16.2 SIFA ZA MWOMBAJI

Kidato cha IV au Kidato cha VI

Wenye Stashahada ya Uhifadhi wa Wanyamapori kutoka Chuo cha Usimamizi wa Wanyamapori Mweka au Chuo kingine kinachotambuliwa na Serikali.

Waliopitia mafunzo ya nidhamu na ukakamavu yanayotolewa na vyuo vya wanyamapori watapewa kipaumbele. Wale watakaopata nafasi lakini hawana mafunzo hayo, watapewa mafunzo husika kama sehemu ya mafunzo ya

“Induction”.

16.3 MSHAHARA

Kwa kuzingatia viwango vya Serikali ngazi ya Mshahara TGS. C kwa mwezi.

17.0 AFISA MICHEZO DARAJA LA II (GAMES AND SPORTS OFFICER GRADE II)

– NAFASI 20

17.1 MAJUKUMU YA KAZI

Kufundisha fani mbalimbali kwa Waalimu wa vyuo, shule, na vituo vya Elimu na Mafunzo

Kufundisha fani mbalimbali za michezo kwa waalimu, Makocha, viongozi wa vyama na vilabu vya michezo

•  Kufundisha fani mbalimbali za michezo kwa Timu za Michezo mbalimbali.

17.2 SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa mwenye Shahada au Stashahada ya Juu ya Elimu ya Michezo (Physical Education) kutoka chuo kinachotambuliwa na Serikali.

17.3 MSHAHARA

Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali TGS D kwa mwezi.


18.1 AFISA UTAMADUNI II (CULTURAL OFFICER GRRADE II) – NAFASI 17 18.1 MAJUKUMU YA KAZI

Kutafiti masuala ya Lugha, Sanaa, Mila na Desturi katika ngazi ya Wilaya.

Kufundisha fani mbalimbali za utamaduni katika Vyuo na Vituo vya Elimu na mafunzo ya utamaduni.

Kazi nyingine atakazopangiwa na Mkuu wa kituo.

18.2 SIFA ZA MWOMBAJI
Kuajiriwa wenye shahada au stashahada ya juu katika Sanaa, Lugha au Sayansi
ya Jamii na uzoefu wa kazi usiopungua miaka mitatu.
18.3 MSHAHARA

Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS D kwa mwezi.

19.1 AFISA USAFIRISHAJI DARAJA LA II (TRANSPORT OFFICER GRADE II ) – NAFASI 17

19.1 MAJUKUMU YA KAZI

Kutayarisha gharama za uendeshaji wa usafiri kwa ajili ya kusaidia kutoa maamuzi.

Kuhakikisha kuwa takwimu na kumbukumbu zinazohusu vyombo vya usafiri pamoja na mitandao yake zinatunzwa vyema na kwa usahihi. Kuandaa takwimu zinazohusu maendeleo ya ukuaji wa sekta ya usafirishaji, na kuwasilisha kwa watumiaji ndani na nje ya nchi.

Kukusanya takwimu za usafirishaji nchini.

Kukadiria na kushauri juu ya utendaji wa miradi mbalimnbali ya sekta ya usafirishaji.

Kutekeleza majukumu mengine yanayohusu sekta ya usafirishaji

19.2 SIFA ZA MWOMBAJI
Kuajiriwa  wenye  Shahada/  stashada  ya  juu  katika  mojawapo  ya  fani  za
Usafirishaji, Uhandisi, Uchumi/Mipango, Sayansi ya Jamii (Sociology) au Takwimu
kutoka Vyuo vinavyotambuliwa na Serikali.
19.3 MSHAHARA

Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS D kwa mwezi


20.1 AFISA USTAWI WA JAMII II (SOCIAL WELFARE OFFICER II)– NAFASI 45 20.1 KAZI NA MAJUKUMU

Kuendesha usaili kwa wahudumiwa (watu wenye ulemavu, wazee, familia zenye matatizo, pamoja na watoto na vijana wenye matatizo mbalimbali).

Kufanya ukaguzi wa mazingira wanayoishi wahudumiwa ili kupata taarifa zao kamili.
Kuandaa taarifa za usaili na ukaguzi wa mazingira ya wahudumiwa.

Kupokea na kukusanya taarifa za ustawi wa jamii kutoka kwa wadau na vituo mbalimbali vya ustawi wa jamii.

Kupokea na kukusanya takwimu zinazohusu huduma za watu wenye ulemavu, wazee malezi ya watoto na familia zenye matatizo.

Kupokea kuchambua na kuandaa orodha ya maombi ya uandikishaji wa vituo vya kulelea watoto wadogo mchana, malezi ambao (foster care) na vyuo vya malezi vya watoto wadogo mchana.

Kupokea, kuchambua na kuandaa orodha ya maombi ya msaada wa Rais kutoka kwa akina mama waliojifungua watoto watatu au zaidi kwa mara moja.

Kupokea, kuchambua na kuandaa orodha ya maombi ya watoto yatima au wanaohitaji misaada mbalimbali.

Kupokea, kuchambua na kuandaa orodha ya maombi mbalimbali kutoka kwenye familia na watu wenye dhiki.
Kuhoji na kuandaa taarifa za washtakiwa.

Kufanya kazi nyingine atakazopangiwa na mkuu wake wa kazi zinazohusiana na elimu, uzoefu na ujuzi wake.

20.2 SIFA ZA MWOMBAJI
Kuajiriwa wenye shahada ya B.A (social work or sociology) au stashada ya juu ya
Ustawi  wa  jamii  (Advanced  Diploma  in  Sociol  work)  kutoka  chuo  cha  juu
kinachotambuliwa na ustawii wa jamii.
20.3 MSHAHARA

Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali TGS D kwa mwezi.

21.0 AFISA MAENDELEO YA JAMII DARAJA II (COMMUNITY DEVELOPMENT OFFICER GRADE II) – (NAFASI 12)

21.1 MAJUKUMU YA KAZI

Kuandaa na kupendekeza mipango na mikakakati ya kubadili fikra za watu ili waweze kuwa na mawazo ya maendeleo sawia na Sera za Serikali na wakati uliopo

Kupitia mbinu shirikishi kuwezesha jamii kuanzisha miradi ya kijamii kama vile:-

- Usafi wa mazingira

- Ujenzi wa nyumba bora

- Ujenzi wa shule

- Ujenzi wa zahanati

- Kuchimba au kuzifanyia matengenezo barabara hasa za vijijini

- Ujenzi wa majosho

- Uchimbaji wa visima vifupi

- Utengenezaji wa malambo

Kuhamasisha matumizi endelevu ya mazingira

Kusambaza na kuhamasisha matumizi ya teknolojia sahihi kama vile uvunaji wa maji ya mvua, majiko sanifu, matumizi ya mikokoteni

Kuhamasisha watu kutumia huduma za mafunzo ya Vyuo vya Maendeleo ya Wananchi

Kuwasadia wanachi vijijini kuandaa maandiko (Project Write ups) ya kuombea fedha za kuendesha miradi yao

Kuhamasisha, kuandaa na kutoa elimu kwa umma kuhusu uraia na Utawala bora

Kukusanya, kutunza, kutafsiri na kusambaza takwimu na kumbukumbu muhimu kwa ajili ya matumizi ya jamii

Kuwezesha wananchi kupambana na mila zenye madhara kwa afya za wanchi hasa wanawake na watoto wa kike, kuenea kwa virusi vya UKIMWI na magonjwa ya mlipuko.

Kuelimisha viongozi wa Serikali za Vijiji, Dini na Mashirika yasiyo ya Kiserikali kuhusu Sera mbalimbali za Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto na kutumia Sera hizo

Kutoa taarifa za hali ya jamii kwa ngazi mbalimbali

21.2 SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa wahitimu wa Shahada au Stashahada ya Juu ya Maendeleo ya Jamii kutoka Vyuo vinavyotambuliwa na Serikali katika fani zifuatazo:-
Maendeleo ya Jamii (Community Development)

Elimu ya Jamii (Sociology)

Masomo ya Maendeleo (Development Studies)

14

Mipango na Usimamizi wa Miradi (Project Planning and Management)

Maendeleo na Jinsia (Gender and Development)

21.3 MSHAHARA

Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS D kwa mwezi.

22.1 AFISA MAENDELEO YA VIJANA DARAJA LA II (YOUTH DEVELOPMENT OFFICER GRADE II) – NAFASI 15

22.1 MAJUKUMU YA KAZI

Kuratibu na  kisimamia utekelezaji wa Sera ya Vijana

Kuratibu shughuli za mikopo/mifuko ya Vijana

Kuhamasisha vijana ili kufufua moyo wa kujitolea nchini

Kupanga na kuendesha mafunzo yanayohusu stadi za maisha, stadi za kazi na Afya ya Vijana

Kuanzisha vituo vya ushauri nasaha, Ajira kwa Vijana na Elimu ya Familia kwa kushirikiana na vyama visivyo vya kiserikali (NGO)

Kukusanya takwimu mbalimbali zinazohusu Vijana

Kuratibu shughuli mbalimbali za NGO  zinazoshughulikia  masuala ya Vijana

Kuandaa mipango ya kuboresha malezi ya Vijana

Kuwahamasisha Waajiri na Wafadhili mbalimbali wachangie mfuko wa mikopo nafuu kwa Vijana katika maeneo mbalimbali

Kukuza na kuendeleza vipaji mbalimbali walivyonavyo Vijana ili kuwawezesha kujiajiri

Kuandaa mipango ya kuwahamasisha Vijana ili kuanzisha miradi midogomidogo ya kujiajiri.

22.2 SIFA ZA MWOMBAJI
Kuajiriwa wenye Shahada ya kwanza (BA. in Sociology or Social Sciences) au
Stashahada ya Juu ya Maendeleo ya Jamii au Ustawi wa Jamii au Maendeleo ya
Vijana (Advanced Diploma in Social Works or Community Development or Youth
Development) kutoka chuo kinachotambuliwa na Serkali.
22.3 MSHAHARA

Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS D kwa mwezi.

23.1 MCHUMI DARAJA LA II (ECONOMIST GRADE II) – NAFASI 36

23.1 MAJUKUMU YA KAZI

Kuhudumia kamati mbalimbali za Bunge (Kamati za mahesabu ya Serikali, Kamati ya mahesabu ya mashirika ya Umma)

Kukusanya takwimu na taarifa mbalimbali za kiuchumi kwa ajili ya uchambuzi na uandaaji wa sera na mipango ya kiuchumi na kijamii

Kufanya utafiti na uchambuzi wa sera na vigezo vya kiuchumi jumla

Kufanya utafiti na kubainisha fursa zilizopo katika sekta husika

Kukusanya taarifa na takwimu zinazohitajika katika kubainisha vipaumbele vya ustawi namaendeleo ya jamii.

Kutayarisha na kusambaza takwimu na taarifa za kiuchumi kwa wadau

23.2 SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa wenye shahada ya kwanza ambao wamejiimarisha (major) katika mojawapo ya fani zifuatazo;

Uchumi (Economics)

Takwimu (Statistics )

Sayansi ya Uchumi Kilimo (BSc Agriculture Economics &Agribusness)kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Chuo Kikuu cha Sokoine au Chuo kingine chochote kinachotambuliwa na Serikali na wenye ujuzi wa kutumia kompyuta

23.3 MSHAHARA

Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS D kwa mwezi.

24.1 AFISA UVUVI DARAJA LA II (FISHERIES OFFICER GRADE II) – NAFASI 39 24.1 MAJUKUMU YA KAZI

Kutekeleza Sera ya Uvuvi.

Uhifadhi wa samaki na viumbe wengine wa majini na mazingira yao.

Kuratibu na kusimamia uhifadhi wa mazingira.

Kuendeleza uvunaji endelevu wa samaki na viumbe wengine wa baharini, maziwa,

mito,  mabwawa na malambo.

Kutoa ushauri wa kitaalam kuhusu Uvuvi bora, utengenezaji na udhifadhi bora wa Samaki na mazao ya uvuvi, Biashara na Masoko ya Samaki pamoja na Ufugaji wa Samaki na viumbe wengine wa majini.

Kutoa leseni za uvuvi.

Kuendesha mafunzo ya taaluma ya uvuvi.

Kusimamia na kutekeleza Sheria za Uvuvi (k.m. kuzuia uvuvi haramu).

Kusimamia ukusanyaji wa takwimu za uvuvi pamoja na maduhuli.

Kuratibu shughuli za utafiti wa uvuvi.

Kutoa ushauri na Mafunzo kwa wananchi juu ya uendelezaji na matumizi endelevu ya rasilimali ya uvuvi.

Kukagua ubora wa Samaki na mazao ya uvuvi na kuweka viwango vya Kitaifa.

24.2 SIFA ZA MWOMBAJI
Kuajiriwa wenye Shahada ya kwanza (Bachelor Degree) katika fani za Sayansi ya
Uvuvi (Fisheries Science/Management, Zoology, Microbiology, Marine Biology,
Food Science and Aquaculture).
24.3 MSHAHARA

•  Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS D kwa mwezi.

25.0 AFISA UVUVI MSAIDIZI DARAJA LA II (ASSISTANT FISHERIES OFFICER II)

– NAFASI 18

25.1 MAJUKUMU YA KAZI

Kutengeneza, Kushona, Kutunza na Kukarabati zana za uvuvi.

Kutunza na kuangalia mabwawa ya samaki.

Kutega mitego Ziwani au Baharini.

Kutengeneza nyavu ndogo ndogo.

Kuwapa chakula samaki katika mabwawa.

Kuvua samaki katika mabwawa.

Kutoa ushauri kwa wavuvi kuhusu mbinu mbalimbali za uvuvi.

Kukusanya takwimu za uvuvi kutoka kwenye vituo vya kupokelea samaki.

Kutoa ushauri juu ya uhifadhi wa samaki na mbinu za usambazaji na uuzaji wa mazao yatokanayo na samaki.

Kuwaelimisha wananchi juu ya ufugaji wa samaki na mambo muhimu ya kuzingatia.

25.2 SIFA ZA MWOMBAJI
Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha nne au cha sita wenye stashahada (Diploma) ya
Uvuvi au Uhifadhi wa Samaki na Masoko (Fish Processing & Marketing) kutoka
vyuo vya uvuvi vya Mbegani, Kunduchi au vyuo vingine vinavyotambuliwa na
Serikali.
25.3 MSHAHARA

Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali TGS C kwa mwezi

26.1 MSANIFU MAJENGO DARAJA LA II (ARCHITECT II ) - (NAFASI 12) 26.1 MAJUKUMU YA KAZI

Kufundish somo la usanifu majengo katika vyuo vya maendeleo ya Jamii.

Kutayarisha mpango wa kazi wa Mafunzo

Kupima Maendeleo ya Wanachuo katika nadharia na vitendo

Kutunza vifaa vya kufundishia

Kufanya na kutoa taarifa za Utafiti

Kutoa  Ushauri wa kitaalam

Kuandaaa kanuni na taratibu za kusimamia Mitihani chuoni

Kutunga na kusahihisha Mitihani

Kufanya Utafiti utakosaidia kutoa majibu kwa matatizo/hangamoto mbalimbali katika jamii inayoizunguka chuo

Kutoa Ushauri juu ya kuboresha Taaluma chuoni na kuendeleza Mafunzo nje ya chuo

26.2 SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha Nne/sita waliofuzu mafunzo ya Shahada ya Usanifu Majengo kutoka vyuo vinanvyotambuliwa na Serikali

26.3 MSHAHARA

Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS E kwa mwezi.

27.1 AFISA NDOROBO DARAJA II (Tsetse Officer)- NAFASI 1

27.1 MAJUKUMU YA KAZI

Kufanya uchunguzi wa kina kuchora ramani za usambaaji wa mbung’o na ndorobo katika maeneo.

Kuhamasisha wananchi/wanavijiji kushiriki katika njia/ mbinu bora na rahisi za kuzuia ndorobo.

Kutayarisha taarifa ya kila mwezi, robo/nusu mwaka ya uzuiaji wa mbung’o, ndorobo nagana na malale.

Kufanya kazi nyingine zozote za fani yake atakazoagizwa na kupangiwa na mkuu wake.

27.2 SIFA ZA MWOMBAJI
Kuajiriwa  wenye  Shahada  ya  Sayansi  ya  Wanyama  na  mimea  (“Zoology  &
Botany”), wadudu (“Entomology”) au shahada inayolingana na hiyo kutoka Chuo
Kikuu cha Dar es Salaam au chuo kingine kinachotambuliwa na Serikali.
27.3 MISHAHARA

Kwa kuzingatia viwango vya Serikali yaani ngazi ya Mshahara TGS D kwa mwezi

28.0 AFISA ELIMU DARAJA LA II (EDUCATION OFFICER GRADE II) –FIZIKIA (PHYSICS) (NAFASI 7)

Nafasi hii ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii,Jinsia na Watoto.Walimu hawa watafanya kazi ya kufundisha katika vyuo vya maendeleo ya jamii na Maendeleo ya Wananchi vilivyopo katika mikoa yote ya Tanzania Bara.

28.1 MAJUKUMU YA KAZI

Kufundisha somo la Fizikia katika vyuo vyuo 25 vya Maendeleo ya Wananchi vinavyofundisha mafunzo ya Ufundi Sanifu

Kuandaa maazimio ya kazi, maandalio ya masomo, zana za kufundishia /kujifunzia, mazoezi ya wanafunzi na majaribio.

Kutunga, kusimamia na kusahihisha mitihani kwa lengo la kutathmini maendeleo ya wanachuo.

Kuandaa mazoezi ya kazi kwa wanachuo na kusahihisha.

Kuandaa taarifa za kitaaluma na kutunza kumbukumbu za maendeleo ya wanachuo na kuwasilisha katika mamlaka husika.

Kufanya tafiti mbalimbali za kielimu.

Kushika zamu na kutoa taarifa kwa uongozi wa chuo.

Kutunza na kudhibiti matumizi ya vifaa katika sehemu aliyokabidhiwa.

Kutoa ushauri wa kitaalamu kwa ngazi za juu kuhusu masuala mbalimbali kulingana na majukumu aliyopewa.

Kutoa   ushauri   nasaha na   kuwalea   wanachuo   kwa   kuwaandaa
kiakili,kimwili,kitabia na kimwenendo ili waweze kujua wajibu wao kwa jamii
Kazi nyingine atakazopangiwa na Mkuu wa Chuo


28.2 SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa wenye Shahada ya kwanza kutoka Vyuo Vikuu vinavyotambuliwa na Serikali katika somo la Fizikia (Physics).

•  Awe na ujuzi wa kutumia kompyuta


28.3 MSHAHARA

Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGTS D kwa mwezi.


29.1 MKUFUNZI DARAJA LA II- UUNGA VYUMA (MECHANICAL ENGINEER)-(NAFASI 22)

Nafasi hii ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii,Jinsia na Watoto. Wahandisi hawa watafanya kazi ya kufundisha somo la Uungaji vyuma, computer Application na technical drawing katika vyuo vya maendeleo ya Wananchi Tanzania Bara

29.1 MAJUKUMU YA KAZI

Kufundisha somo la uungaji vyuo, computer application na Technical drawing katika vyuo vyuo vya maendeleo ya wananchi.

Kutayarisha mpango wa kazi wa Mafunzo

Kupima Maendeleo ya Wanachuo katika nadharia na vitendo

Kutunza vifaa vya kufundishia

Kufanya na kutoa taarifa za Utafiti

Kutoa  Ushauri wa kitaalam

Kuandaaa kanuni na taratibu za kusimamia Mitihani chuoni

Kutunga na kusahihisha Mitihani

Kufanya Utafiti utakaosaidia kutoa majibu kwa matatizo/changamoto mbaimbali katika jamii inayoizunguka chuo

Kutoa ushauri juu ya kuboresha taaluma chuoni na kuendeleza Mafunzo nje ya chuo

29.2 SIFA ZA MWOMBAJI
Kuajiriwa  wahitimu  wa  kidato  cha  Nne/sita  waliofuzu  Mafunzo  ya  Shahada/
stashahada  ya  juu  katika  fani  ya  Uunga  vyuma,  ufundi  bomba,  computer
application  and  technical  (Mechanical  Engeneering)  kutoka  katika  vyuo
vinavyotambuliwa na Serikali
29.3 MSHAHARA

Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS D/E kwa mwezi.


30.1 AFISA ELIMU DARAJA LA II (EDUCATION OFFICER GRADE II) –KEMIA (CHEMISTRY) (NAFASI 1)

Nafasi hii ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii,Jinsia na Watoto.Walimu hawa watafanya kazi ya kufundisha katika vyuo vya maendeleo ya jamii na Maendeleo ya Wananchi vilivyopo katika mikoa yote ya Tanzania Bara.

30.1 MAJUKUMU YA KAZI

Kufundisha somo la Kemia katika vyuo 25 vya Maendeleo ya Wananchi vinavyofundisha mafunzo ya Ufundi stadi.

Kuandaa maazimio ya kazi, maandalio ya masomo, zana za kufundishia /kujifunzia, mazoezi ya wanafunzi na majaribio.

Kutunga, kusimamia na kusahihisha mitihani kwa lengo la kutathmini maendeleo ya wanachuo.

Kuandaa mazoezi ya kazi kwa wanachuo na kusahihisha.

Kuandaa taarifa za kitaaluma na kutunza kumbukumbu za maendeleo ya wanachuo na kuwasilisha katika mamlaka husika.

Kufanya tafiti mbalimbali za kielimu.

Kushika zamu na kutoa taarifa kwa uongozi wa chuo.

Kutunza na kudhibiti matumizi ya vifaa katika sehemu aliyokabidhiwa.

Kutoa ushauri wa kitaalamu kwa ngazi za juu kuhusu masuala mbalimbali kulingana na majukumu aliyopewa.

Kutoa   ushauri   nasaha na   kuwalea   wanachuo   kwa   kuwaandaa
kiakili,kimwili,kitabia na kimwenendo ili waweze kujua wajibu wao kwa jamii
Kazi nyingine atakazopangiwa na Mkuu wa Chuo.

30.2 SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa wenye Shahada ya kwanza kutoka Vyuo Vikuu vinavyotambuliwa na Serikali katika somo la Kemia (Chemistry).

•  Awe na ujuzi wa kutumia kompyuta

30.3 MSHAHARA

Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS D kwa mwezi.


31.1 MKUFUNZI MSAIDIZI DARAJA LA II–HOME ECONOMICS/ DOMESTIC SCIENCE

(NAFASI 8)

Nafasi hii ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto. Wakufunzi wasaidizi hawa watafanya kazi ya kufundisha somo la ushonaji, ufumaji, kudarizi, upishi na lishe katika vyuo vya maendeleo ya wananchi Tanzania Bara

31.1 MAJUKUMU YA KAZI

Kufundisha masomo ya ushonaji, ufumaji, kudarizi na upishi na lishe katika vyuo vya maendeleo ya wananchi.

Kutayarisha mpango wa kazi wa Mafunzo

Kupima Maendeleo ya Wanachuo katika nadharia na vitendo

Kutunza vifaa vya kufundishia

Kufanya na kutoa taarifa za Utafiti

Kutoa  Ushauri wa kitaalam

Kuandaaa kanuni na taratibu za kusimamia Mitihani chuoni

Kutunga na kusahihisha Mitihani

Kufanya Utafiti utakosaidia kutoa majibu kwa matatizo/hangamoto mbalimbali katika jamii inayoizunguka chuo

Kutoa Ushauri juu ya kuboresha Taaluma chuoni na kuendeleza Mafunzo nje ya chuo


31.2 SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha Nne/sita waliofuzu mafunzo ya stashahada ya ufundi katika fani zaushonaji, ufumaji, kudarizi, upishi na lishekutoka vyuo vya ufundi vinanvyotambuliwa na Serikali.


31.3 MSHAHARA

Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS C kwa mwezi.


32.1 AFISA ELIMU DARAJA LA II (EDUCATION OFFICER GRADE II) –HISABATI (MATHEMATICS) (NAFASI 6)

Nafasi hii ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii,Jinsia na Watoto.Walimu hawa watafanya kazi ya kufundisha katika vyuo vya maendeleo ya jamii na Maendeleo ya Wananchi vilivyopo katika mikoa yote ya Tanzania Bara.

32.1 MAJUKUMU YA KAZI

Kufundisha somo la Hesabu katika vyuo 25 vya Maendeleo ya Wananchi vinavyofundisha mafunzo ya Ufundi Stadi.

Kuandaa maazimio ya kazi, maandalio ya masomo, zana za kufundishia /kujifunzia, mazoezi ya wanafunzi na majaribio.

Kutunga, kusimamia na kusahihisha mitihani kwa lengo la kutathmini maendeleo ya wanachuo.

Kuandaa mazoezi ya kazi kwa wanachuo na kusahihisha.

Kuandaa taarifa za kitaaluma na kutunza kumbukumbu za maendeleo ya wanachuo na kuwasilisha katika mamlaka husika.

Kufanya tafiti mbalimbali za kielimu.

Kushika zamu na kutoa taarifa kwa uongozi wa chuo.

Kutunza na kudhibiti matumizi ya vifaa katika sehemu aliyokabidhiwa.

Kutoa ushauri wa kitaalamu kwa ngazi za juu kuhusu masuala mbalimbali kulingana na majukumu aliyopewa.

Kutoa ushauri nasaha na kuwalea wanachuo kwa kuwaandaa kiakili,kimwili,kitabia na kimwenendo ili waweze kujua wajibu wao kwa jamii

Kazi nyingine atakazopangiwa na Mkuu wa Chuo

32.2 SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa wenye Shahada ya kwanza kutoka Vyuo Vikuu vinavyotambuliwa na Serikali waliosomea Hisabati na Ualimu (Bachelor of Education in Mathematics).

•  Awe na ujuzi wa kutumia kompyuta

32.3 MSHAHARA

Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGTS D kwa mwezi.


33.1 MKUFUNZI DARAJA LA II- MHANDISI UJENZI (CIVIL ENGINEER)-(NAFASI

15)

Nafasi hii ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii,Jinsia na Watoto. Wahandisi hawa watafanya kazi ya kufundisha somo la Ujenzi, computer Application na technical drawing katika vyuo (24) vya maendeleo ya Wananchi na chuo cha Maendeleo ya Jamii Missungwi

33.1 MAJUKUMU YA KAZI

Kufundisha somo la uungaji vyuo, computer application na Technical drawing katika vyuo vyuo vya maendeleo ya wananchi.

Kutayarisha mpango wa kazi wa Mafunzo

Kupima Maendeleo ya Wanachuo katika nadharia na vitendo

Kutunza vifaa vya kufundishia

Kufanya na kutoa taarifa za Utafiti

Kutoa  Ushauri wa kitaalam

Kuandaaa kanuni na taratibu za kusimamia Mitihani chuoni

Kutunga na kusahihisha Mitihani

Kufanya Utafiti utakaosaidia kutoa majibu kwa matatizo/changamoto mbaimbali katika jamii inayoizunguka chuo

Kutoa ushauri juu ya kuboresha taaluma chuoni na kuendeleza Mafunzo nje ya chuo


33.2 SIFA ZA MWOMBAJI
Kuajiriwa  wahitimu  wa  kidato  cha  Nne/sita  waliofuzu  Mafunzo  ya  Shahada/
stashahada ya juu katika fani ya uhandisi majengo(Civil Engeneering), Uunga
vyuma,  computer  application  and  technical  drawing  kutoka  katika  vyuo
vinavyotambuliwa na Serikali
33.3 MSHAHARA

Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS D/E kwa mwezi.

34.0 AFISA ELIMU DARAJA LA II (EDUCATION OFFICER GRADE II) –SAYANSI KIMU(DOMESTIC SCIENCE) (NAFASI 17)

Nafasi hii ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii,Jinsia na Watoto.Walimu hawa watafanya kazi ya kufundisha katika vyuo vya maendeleo ya jamii na Maendeleo ya Wananchi vilivyopo katika mikoa yote ya Tanzania Bara.

34.1 MAJUKUMU YA KAZI

Kufundisha somo la upishi na lishe,hotel management, uhifadhi wa vyakula,uzalishaji vyakula na vinywaji katika, vyuo vya Maendeleo ya Wananchi

Kuandaa maazimio ya kazi, maandalio ya masomo, zana za kufundishia /kujifunzia, mazoezi ya wanafunzi na majaribio.

Kutunga, kusimamia na kusahihisha mitihani kwa lengo la kutathmini maendeleo ya wanachuo.

Kuandaa mazoezi ya kazi kwa wanachuo na kusahihisha.

Kuandaa taarifa za kitaaluma na kutunza kumbukumbu za maendeleo ya wanachuo na kuwasilisha katika mamlaka husika.

Kufanya tafiti mbalimbali za kielimu.

Kushika zamu na kutoa taarifa kwa uongozi wa chuo.

Kutunza na kudhibiti matumizi ya vifaa katika sehemu aliyokabidhiwa.

Kutoa ushauri wa kitaalamu kwa ngazi za juu kuhusu masuala mbalimbali kulingana na majukumu aliyopewa.

Kutoa   ushauri   nasaha na   kuwalea   wanachuo   kwa   kuwaandaa
kiakili,kimwili,kitabia na kimwenendo ili waweze kujua wajibu wao kwa jamii
Kazi nyingine atakazopangiwa na Mkuu wa Chuo


34.2 SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa wenye Shahada ya kwanza kutoka chuo Kikuu cha Sokoine na vyuo Vikuu vingine vinavyotambuliwa na Serikali waliosomea Maarifa ya nyumbani (Home Economics/Domestic Science)

•  Awe na ujuzi wa kutumia kompyuta.


34.3 MSHAHARA

Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGTS D kwa mwezi.


35.1 AFISA ELIMU DARAJA LA II (EDUCATION OFFICER GRADE II) – EDUCATION IN COMMERCE)- (NAFASI 23)

Nafasi hii ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii,Jinsia na Watoto.Walimu hawa watafanya kazi ya kufundisha katika vyuo vya maendeleo ya jamii na Maendeleo ya Wananchi vilivyopo katika mikoa yote ya Tanzania Bara.

35.1 MAJUKUMU YA KAZI

Kufundisha masomo ya Hesabu za biashara na Ujasiriamali katika vyuo vya Maendeleo ya Wananchi.

Kuandaa maazimio ya kazi, maandalio ya masomo, zana za kufundishia /kujifunzia, mazoezi ya wanafunzi na majaribio.

Kutunga, kusimamia na kusahihisha mitihani kwa lengo la kutathmini maendeleo ya wanachuo.

Kuandaa mazoezi ya kazi kwa wanachuo na kusahihisha.

Kuandaa taarifa za kitaaluma na kutunza kumbukumbu za maendeleo ya wanachuo na kuwasilisha katika mamlaka husika.

Kufanya tafiti mbalimbali za kielimu.

Kushika zamu na kutoa taarifa kwa uongozi wa chuo.

Kutunza na kudhibiti matumizi ya vifaa katika sehemu aliyokabidhiwa.

Kutoa ushauri wa kitaalamu kwa ngazi za juu kuhusu masuala mbalimbali kulingana na majukumu aliyopewa.

Kutoa   ushauri   nasaha na   kuwalea   wanachuo   kwa   kuwaandaa
kiakili,kimwili,kitabia na kimwenendo ili waweze kujua wajibu wao kwa jamii
Kazi nyingine atakazopangiwa na Mkuu wa Chuo


35.2 SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa wenye Shahada ya kwanza kutoka Vyuo Vikuu vinavyotambuliwa na Serikali waliosomea Elimu ya Biashara na ualimu (Bachelor Of Education in Commerce).

•  Awe na ujuzi wa kutumia kompyuta


35.3 MSHAHARA

Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGTS D kwa mwezi.


36.1 MKUFUNZI DARAJA LA II- KILIMO (AGRICULTURAL OFFICER )- (NAFASI 1)

Nafasi hii ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto. Wakufunzi hawa watafanya kazi ya kufundisha somo la kilimo (Agriculture) katika vyuo vya maendeleo ya wananchiTanzania Bara

36.1 MAJUKUMU YA KAZI

Kufundisha somo la kilimo katika vyuo vya maendeleo ya wananchi.

25

Kutayarisha mpango wa kazi wa Mafunzo

Kupima Maendeleo ya Wanachuo katika nadharia na vitendo

Kutunza vifaa vya kufundishia

Kufanya na kutoa taarifa za Utafiti

Kutoa  Ushauri wa kitaalam

Kuandaaa kanuni na taratibu za kusimamia Mitihani chuoni

Kutunga na kusahihisha Mitihani

Kufanya Utafiti utakosaidia kutoa majibu kwa matatizo/hangamoto mbalimbali katika jamii inayoizunguka chuo

Kutoa Ushauri juu ya kuboresha Taaluma chuoni na kuendeleza Mafunzo nje ya chuo


36.2 SIFA ZA MWOMBAJI
Kuajiriwa  wahitimu  wa  kidato  cha  Nne/sita  waliofuzu  Mafunzo  ya  Shahada/
stashahada  ya  juu  katika  somo  la  kilimo  kutoka  vyuo  vinavyotambuliwa  na
Serikali.
36.3 MSHAHARA

Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS D kwa mwezi.


37.1 MKUFUNZI MSAIDIZI DARAJA LA II – UFUNDI CHUMA NA MABOMBA ( WELDING AND PLUMBING) - (NAFASI 10)

Nafasi hii ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto. Wakufunzi wasaidizi hawa watafanya kazi ya kufundisha somo la ufundi chuma na bomba katika vyuo vya maendeleo ya wananchi Tanzania Bara

37.1 MAJUKUMU YA KAZI

Kufundisha Masomo ya uungaji vyuma na ufundi bomba katika vyuo vya maendeleo ya wananchi.

Kutayarisha mpango wa kazi wa Mafunzo

Kupima Maendeleo ya Wanachuo katika nadharia na vitendo

Kutunza vifaa vya kufundishia

Kufanya na kutoa taarifa za Utafiti

Kutoa  Ushauri wa kitaalam

Kuandaaa kanuni na taratibu za kusimamia Mitihani chuoni

Kutunga na kusahihisha Mitihani

Kufanya Utafiti utakosaidia kutoa majibu kwa matatizo/hangamoto mbalimbali katika jamii inayoizunguka chuo

26


Kutoa Ushauri juu ya kuboresha Taaluma chuoni na kuendeleza Mafunzo nje ya chuo


37.2 SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha Nne/sita waliofuzu mafunzo ya stashahada ya ufundi katika fani ya ufundi chuma na bomba kutoka vyuo vya ufundi inanvyotambuliwa na Serikali


37.3 MSHAHARA

Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS C kwa mwezi.


38.1 MKUFUNZI DARAJA LA II- ELECTRICAL ENGINEER - (NAFASI 14)

Nafasi hii ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto. Wakufunzi hawa watafanya kazi ya kufundisha somo la Umeme wa majumbani (Electrical installation),computer application na technical drawing katika vyuo vya maendeleo ya Jamii Tanzania Bara

38.1 MAJUKUMU YA KAZI

Kufundisha somo la umeme wa majumbani, computer application na technical drawing katika vyuo vya maendeleo ya wananchi.

Kutayarisha mpango wa kazi wa Mafunzo

Kupima Maendeleo ya Wanachuo katika nadharia na vitendo

Kutunza vifaa vya kufundishia

Kufanya na kutoa taarifa za Utafiti

Kutoa  Ushauri wa kitaalam

Kuandaaa kanuni na taratibu za kusimamia Mitihani chuoni

Kutunga na kusahihisha Mitihani

Kufanya Utafiti utakosaidia kutoa majibu kwa matatizo/hangamoto mbaimbali katika jamii inayoizunguka chuo

Kutoa Ushauri juu ya kuboresha Taaluma chuoni na kuendeleza Mafunzo nje ya chuo


38.2 SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha Nne/sita waliofuzu Mafunzo ya Shahada/ stashahada ya juu katika fani ya Electrical Engineering kutoka vyuo vinavyotambuliwa na Serikali.


38.3 MSHAHARA

27

Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS E kwa mwezi.


39.1 MHUDUMU WA JIKONI (KITCHEN MESS ATTENDANT II) NAFASI-10

Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto. Wahudumu hawa watapika chakula cha wanachuo chini ya usimamizi wa wapishi katika vyuo vya maendeleo ya wananchi

39.1 MAJUKUMU YA KAZI

• Kuandaa chakula cha wanachuo kulingana na Menyu na idadi ya wanachuo • Kupika chakula cha wanachuo

•  Kufanya usafi wa jiko.

•  Na kazi nyingine atazopangiwa na mpishi/wasimamizi wao.


39.2 SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa wenye cheti cha mtihani wa kitado cha nne na kufuzu mafunzo si chini ya mwaka mmoja katika fani ya Food and Beverages kutoka kwenye vyuo vinavyotambuliwa na Serikali.


39.3 MSHAHARA

Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGOS A kwa mwezi


40.1 MLINZI (SECURITY GUARD) – NAFASI 16

40.1 MAJUKUMU YA KAZI

Kuhakikisha kwamba mali yoyote ya ofisi inayotolewa langoni (nje ya ofisi) ina hati ya idhini.

Kuhahikisha kuwa mali yote inayoingizwa langoni inazo hati za uhalali wake.

Kulinda usalama wa majengo, ofisi na mali za ofisi mchana na usiku.

Kuhakikisha kwamba milango na madirisha yote yamefungwa ipasavyo mwisho wa saa za kazi.

Kuhakikisha kwamba wageni wote wanaoingia katika eneo la ofisi wana idhini ya kufanya hivyo.

Kupambana na majanga yoyote yatakayotokea katika sehemu ya kazi kama vile, moto, mafuriko n.k na kutoa taarifa katika vyombo vinavyohusika kama vile, moto, mafuriko n.k na kutoa taarifa katika vyombo vinavyohusika.

Kutoa ushauri wa jinsi ya kuboresha huduma ya ulinzi mahali pa kazi.

40.2 SIFA ZA MWOMBAJI



28


Kuajiriwa wahitimu wa Kidato cha Nne waliofuzu mafunzo ya mgambo/polisi/JKT au Mafunzo ya Zimamoto kutoka katika chuo kinachotambuliwa na Serikali.

40.3 MSHAHARA

Kwa kuzingatia viwango vya Serikali ngazi ya mshahara TGOS A kwa mwezi.


41.1 WAKALA WA VIPIMO

Wakala wa Vipimo ni Taasisi (Wakala) ya Serikali iliyochini ya Wizara ya Viwanda na Biashara. Taasisi hii iliundwa kwa mujibu wa Sheria ya Wakala za Serikali Sura Na. 245, mapitio ya mwaka 2002. Wakala wa Vipimo ilianzishwa rasmi tarehe 13 Mei, 2002 kwa amri ya Serikali Na. 194 (Government Order No. 194) na kutangazwa tarehe 17 Mei, 2002. Wakala wa Vipimo ina jukumu la kumlinda mlaji kwa kuhakiki vipimo vyote vinavyotumika katika sekta za Biashara, Afya, Usalama na Mazingira.

Nafasi hizi zitajazwa katika ofisi za Wakala wa Vipimo zilizoko Makao Makuu na katika Mikoa yote Tanzania Bara.

41.1 MKAGUZI WA NDANI MKUU DARAJA LA I- NAFASI 1 (INARUDIWA)

41.2 MAJUKUMU YA KAZI

Kuidhinisha taarifa ya ukaguzi uliofanyika;

Kumfahamisha Mtendaji Mkuu kuhusu mabadiliko ya miongozo ya Ukaguzi (Audit guides) na kumshauri kuhusu Mfumo mzuri wa udhibiti wa ndani (Internal Control);

Kufanya tathmini juu ya ufanisi (effectiveness) katika uzingatiaji wa Sheria, Kanuni na taratibu za fedha katika Wakala wa Vipimo;

Kufanya uchunguzi maalum kuhusu matumizi ya Fedha yasiyofaa (special checks and investigations);

Kuhakikisha kwamba utendaji kazi na matumizi ya fedha katika Wakala vinazingatia Sheria, Kanuni na taratibu za manunuzi na Kanuni za kimataifa (International Standards);

Kumshauri Mtendaji Mkuu kuhusu namna bora ya kutekeleza majukumu ya Wakala kwa kuzingatia Sheria, Kanuni na taratibu za fedha na Manunuzi;

Kumshauri Mtendaji Mkuu kuchukua tahadhari ili kuzuia hasara na matumizi yasiyofaa katika Wakala;

Kuratibu, kusimamia na kuongoza shughuli za ukaguzi wa ndani.


41.3 SIFA ZA MWOMBAJI

29


Awe na Shahada ya Biashara au Sanaa ya Uhasibu au Stashahada ya juu ya Uhasibu (ADA) kutoka Chuo/Taasisi inayotambuliwa na Serikali;

Awe na Shahada/Stashahada ya Uzamili (Masters/Postgraduate Diploma) katika fani ya Uhasibu/Fedha na waliofaulu mtihani wa Taaluma ya Cheti cha Uhasibu (CPA) (T) pamoja na uzoefu wa kazi usiopungua miaka kumi na mbili (12) katika fani hiyo. Wawe wametoa mchango wa makala/maandiko ya kiuhasibu na Ukaguzi hesabu yanayotambuliwa Kitaifa au Kimataifa watafikiriwa kwanza.

Awe na ujuzi wa kutumia Kompyuta.


41.4 MSHAHARA

Kwa kuzingatia ngazi za mishahara ya Serikali yaani WMAS 7 kwa mwezi.



42.1 MHANDISI DARAJA LA II (MAJI) – WATER RESOURCE ENGINEER – NAFASI 20

42.1 MAJUKUMU YA KAZI

Kushughulikia upembuzi yakinifu, usanifu wa ujenzi, uendeshaji na matengenezo ya miundombinu midogo midogo ya usambazaji maji na kushiriki shughuli za upembuzi yakinifu, usanifu, ujenzi, uendeshaji na matengenezo ya miundombinu mikubwa ya ujenzi wa usambazaji maji na usafi wa mazingira.

Kufanyia mapitio taarifa za upembuzi yakinifu na sanifu za ujenzi wa miundombinu ya miradi ya usambazaji maji na usafi wa mazingira.

Kufanyia ukaguzi wa utekelezaji wa ujenzi, uendeshaji na utengenezaji wa miundombinu ya uzalishaji na usambazaji maji na usafi wa mazingira kwa ajili ya kupata ubora unaokusudiwa.

Kushiriki katika kazi ya kupendekeza miradi na kupitia mapendekezo ya miradi (project proposal) ya usambazaji maji na usafi wa mazingira.

Kufanya uchunguzi kuhusu uharibifu wa miundombinu au ajali zinazojitokeza wakati wa utekelezaji wa miradi ya maji na usafi wa mazingira.

Kutayarisha bajeti ya utekelezaji wa shughuli za sekta za maji.

Kusimamia kuratibu na kufuatilia utekelezaji wa ujenzi, uendeshaji na mategenezo ya miundombinu ya miradi ya maji na usafi wa mazingira.

Kukusanya na kutayarisha taarifa mbalimbali za utekelezaji wa shughuli za sekta ya maji kwa ajili ya matumizi ya sekta na kwa ajili ya kujisajili katika bodi ya Wahandisi.

42.2 SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa wenye Shahada/Stashahada ya juu ya uhandisi wa Maji (Water Resource Engineering) kutoka vyuo vikuu vinavyotambuliwa na Serikali.

30

42.3 MSHAHARA

Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS E kwa mwezi.


43.0 MPIMA ARDHI DARAJA LA II (LAND SURVEYOR II ) - (NAFASI 10)

43.1 MAJUKUMU YA KAZI

Kufundish somo la usanifu majengo katika vyuo vya maendeleo ya Jamii.

Kutayarisha mpango wa kazi wa Mafunzo

Kupima Maendeleo ya Wanachuo katika nadharia na vitendo

Kutunza vifaa vya kufundishia

Kufanya na kutoa taarifa za Utafiti

Kutoa  Ushauri wa kitaalam

Kuandaaa kanuni na taratibu za kusimamia Mitihani chuoni

Kutunga na kusahihisha Mitihani

Kufanya Utafiti utakosaidia kutoa majibu kwa matatizo/hangamoto mbalimbali katika jamii inayoizunguka chuo

Kutoa Ushauri juu ya kuboresha Taaluma chuoni na kuendeleza Mafunzo nje ya chuo


43.2 SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha Nne/sita waliofuzu mafunzo ya Shahada ya Upimaji wa Ardhi kutoka vyuo vinavyotambuliwa na Serikali


43.3 MSHAHARA

Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS E kwa mwezi.


44.1 FUNDI SANIFU DARAJA II- URASIMU RAMANI (CARTOGRAPHY) – NAFASI

10

44.1 MAJUKUMU YA KAZI
Kufanya maandalizi ya Uchoraji wa ramani za miji kadiri ya uwiano unaohitajika
Kutunza kumbukumbu za ramani na plan
Kuchora plani za hati miliki, upimaji, mashamba na vijiji
Kutoa nakala za plani za hati za viwanja, mashamba na vijiji
44.2 SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha nne au cha sita wenye cheti cha mafunzo ya ufundi ya miaka miwili katika fani ya Urasimu Ramani (Cartography) kutoka kwenye vyovinavyotambuliwa na serikali.


44.3 MSHAHARA

Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS C kwa mwezi.

NB: MASHARITI YA JUMLA KWA KAZI ZOTE.

i. Waombaji wote wawe ni Raia wa Tanzania na wenye umri usiozidi miaka 45

ii. Waombaji wote waambatishe cheti cha kuzaliwa.

iii. Waombaji ambao tayari ni watumishi wa Umma na wamejipatia sifa za kuingilia katika kada tofauti na walizonazo, wapitishe barua zao za maombi ya nafasi za kazi kwa waajiri wao na Waajiri wajiridhishe ipasavyo.

iv. Waombaji waambatishe maelezo binafsi yanayojitosheleza (Detailed C.V) yenye anwani na namba za simu za kuaminika pamoja na majina ya wadhamini (referees)

watatu wa kuaminika.

- Maombi yote yaambatane na vyeti vya taaluma, maelezo, nakala za vyeti vya kidato cha nne na kidato cha sita kwawale waliofikia kiwango hicho na vyeti vya kuhitimu mafunzo mbalimbali kwa kuzingatia sifa za kazi husika

- Postgraduate/Degree/Advanced Diploma/Diploma/Certificates.

- Cheti cha mtihani wa kidato cha IV na VI

- Computer Certificate

-   Vyeti vya kitaaluma (Professional certificates from respective boards)

v. Testmonials”, “Provisional Results”, “Statement of results”, hati matokeo za kidato cha nne na sita (FORM IV AND FORM VI RESULTS SLIPS) HAVITAKUBALIWA.

vi. Waombaji waliosoma nje ya Tanzania wahakikishe vyeti vyao vimehakikiwa na kuidhinishwa na Mamlaka husika (TCU na NECTA).

vii. Waombaji waliostaafishwa katika Utumishi wa Umma hawaruhusiwi kuomba isipokuwa kama wanakibali cha Katibu Mkuu Kiongozi.

viii. Waombaji kazi ambao tayari ni waajiriwa katika nafasi za kuingilia walioko katika utumishi wa umma wasiombe na wanatakiwa kuzingatia maelekezo yaliyo katika Waraka Na CAC. 45/257/01/D/140 wa tarehe 30 Novemba 2010.

ix. Uwasilishaji wa taarifa na sifa za kugushi wahusika watachukuliwa hatua za kisheria.

x. Mwisho wa kutuma maombi ni tarehe 28 Juni, 2015

xi. Aidha, uwasilishaji wa barua kwa mkono katika ofisi za Sekretarieti ya ajira HAURUHUSIWI.

xii. Barua   za   maombi   ziandikwe   kwa   Lugha   ya   Kiswahili   au   Kiingereza.


xiii. Maombi yote yatumwe kwenye mfumo wakielektroniki wa Ajira (Recruitment Portal) kupitiaanuaniifuatayo;

http://portal.ajira.go.tz/

Anuanihii pia inapatikana kwenye tovuti ya Sekretarieti ya ajira kwa kuingia sehemu iliyoandi kwa;

‘Recruitment Portal’


xiv. MUHIMU: KUMBUKA KUWEKA (ATTACH) BARUA YAKO YA MAOMBI KWENYE SEHEMU YA ‘OTHER ATTACHEMENTS’

xv. Kwa waombaji ambao majina ya vyuo na kozi zao hazipo kwenye mfumo wanatakiwa kuandika majina ya vyuo vya na kozi kwa kirefu

Mfano; Chuo: MWALIMU NYERERERE MEMORIAL ACADEMY
Kozi: BACHELOR DEGREE IN COMMUNITY DEVELOPMENT

NASAFI ZA KAZI UTUMISHI - 6/17/2015 NASAFI ZA KAZI UTUMISHI - 6/17/2015 Reviewed by Unknown on 6:41:00 AM Rating: 5

JOBS CATEGORY

Tanzania Kenya NGO JOBS Uganda Best Jobs Consultancy Rwanda ICT JOBS Administrative United Nations Sudan Best Jobs Finance Health - Medical Engineering Ethiopia Education Agricultural Lecturer Human Resources Somalia Media Congo - Kinshasa Legal Jobs Bank Jobs Monitoring and Evaluation Mining World Vision Burundi Procurement African Barrick Gold Accountant Zambia Sales and Marketing US EMBASSY East African Community Mozambique Telecoms Research CARE International Save The Children Plan International Arusha Malawi South Sudan Oxfam Scholarships African Development Bank Finance and Administration SafariCom Aviation The Commonwealth American Embassy Sales Zanzibar Environmental Catholic Relief Services Dar es salaam USAID Operations FHI 360 UNDP Security World Bank Economist TradeMark East Africa Unicef Hospitality Managers International Rescue Committee (IRC) Restless Development Accounting Civil Engineers AMREF Morogoro Utumishi AfDB African Development Bank COOPI - Cooperazione Internazionale Driver - Logistics Path International Mwanza African Union Tigo Jobs Marketing Mbeya Teaching Au African Union PSI Population Services International Pwc PricewaterhouseCoopers East African Breweries North Mara Gold Mine ACTED Djibouti Malaria Consortium Bulyanhulu Gold Mine DFID Driver Buzwagi Gold Mine Jhpiego COMESA FINCA JOBS International Jobs Adeso Danish Refugee Council Kilimanjaro Nairobi Coca-Cola Handicap International Pact International Rio Tinto Solidarités International Tender EGPAF Elizabeth Glaser Pediatric AIDS Foundation Logistics Serengeti Breweries Ltd Nation Media Group Africare Norwegian Refugee Council Samaritan's Purse Chemonics International COUNTRY DIRECTOR ICAP of Columbia University InterShips Precision Air RwandAir Marie Stopes International (MSI) Serengeti Breweries Volunteer Climate Change IGAD Tetra Tech ARD Agriculture Jobs Dodoma Iringa One Acre Fund Project Management Clinton Health Access Initiative (CHAI Technoserve Twaweza East Africa ActionAid Lutheran World Federation SADC Secretariat Tanga Vso International ACDI/VOCA Halmashauri Agha Khan Kenya Commercial Bank World Agroforestry Centre Deloitte East Africa International Organization for Migration (IOM) COMESA Secretariat: Software Engineering Safety and Security Shinyanga Jobs Tanzania Breweries Pathfinder International World Health Organization KPMG TANROADS Tanzania Electric Supply Company British Council Futures Group KCB BANK UN-Habitat WFP World Food Programme Barclays GEITA GOLD MINING TANESCO Electrical Engineer Food and Agriculture Organization GOAL Mombasa Tabora WWF World Wide Fund for Nature Microsoft Tanzania Ports Authority East African Development Bank Family Health International (FHI) IBM EAST AFRICA IntraHealth International Mercy Corps SERIKALINI - GOVERNMENT OF TANZANIA AccessBank Community Development Jobs Data Base Management Google Africa ICAP - TZ KEMRI/CDC Program WaterAid Tanzania Auditor SNV International Stanbic Bank Amnesty Horn Relief Kampala Management Systems International (MSI) Standard Chartered Bank VETA Christian Aid DIAMOND TRUST BANK Helen Keller International Help Age Mtwara Uganda Telecom Airtel Africa Equity Bank Internships Marie Stopes TCRA Web Development B B C WORLD SERVICE Human Rights Kigali Makerere University Nile Basin Initiative Kenyatta University Kigoma Mzumbe University NSSF National Social Security Fund Nile Breweries Limited Tulawaka Gold Mine University of Nairobi kenya Airways Bank of Tanzania Graduates MTN Muhimbili National Hospital Nepad Partners in Health Room to Read SUMATRA UNWOMEN African Wildlife foundation (AWF) KEMRI Kagera Librarian MENTOR Initiative Trainee USAILI - INTERVIEW Uiversity of Nairobi WaterAid International icipe Project CAFOD - Catholic Agency for Overseas Development Egerton University EngenderHealth Goal Ireland Kenyan Banks Lake Victoria Basin Commission Peace Corps TANAPA TASAF Tanzania Social Action Fund Zanzibar University ACB AKIBA COMMERCIAL BANK AGRA Alliance for a Green Revolution in Africa Advans Bank Ethiopian Airlines Freedom House IITA International Institute of Tropical Agriculture Legal Moshi NMB BANK Resolute Tanzania Singida Uganda Uganda National Roads Authority University of Dar es salaam University of Dodoma British High Commission ChildFund EWURA FilmAid International NECTA TPDC Tanzania Civil Aviation Authority (TCAA) United States International University World Concern Aga Khan Foundation CBA Commercial Bank of Africa Ecomist Ernst and Young IUCN International Union for Conservation of Nature International Medical Corps Islamic Relief Kakira Sugar Musoma National Institute for Medical Research OPEN UNIVERSITY OF TANZANIA Relief International TAA Tanzania Airports Authority Trócaire Uganda Revenue Authority VODACOM TANZANIA VSF Belgium Architects Hivos IFC International Finance Corporation Ifakara Health Institute Inoorero University International Commercial Bank Kenya Red Cross Society MADEREVA Medical Oil and Gas Pwani University College SOKOINE UNIVERSITY Tumaini University Water Engineering AWF African Wildlife Foundation Acacia Mining Accounts African Virtual University Altima Africa Ardhi University Bank of Uganda Business Development Concultancy Del Monte Kenya Embassies Kenya Airports Authority Lake Victoria South Water Services Board Mara National Bank of Commerce RECORDS MANAGEMENT JOBS RUKWA Ruvuma Search for Common Ground Songea TTCL Tanzania Telecommunications Company Limited Unilever War Child International Zinduka Afrika ACORD AKU ​Aga Khan University Africa Nazarene University Africa Rice Center (AfricaRice) Aga Khan Health Services CRDB BANK Commercial Bank of Africa Daraja Tanzania Engineers Registration Board (ERB) Fina Bank International Potato Center International Potato Center (CIP) Intrahealth Jomo Kenyatta University Kilimanjaro Christian Medical Centre Kyambogo University Lindi Jobs MCL Mwananchi Communications MUHAS-harvad Moi University NBC BANK National University of Rwanda Ngorongoro Conservation Area Authority Njombe Nuru International Nzoia sugar Company RTI International SUA SOKOINE UNIVERSITY OF AGRICULTURE THE LAW SCHOOL OF TANZANIA TRA Tanzania Revenue Authority Tanzania Postal Bank The Foundation For Civil Society Udhamini wa Masomo Western Union AIR TANZANIA Action Against Hunger (ACF) Agricultural Society of Kenya BRALIRWA Bondo University College Caritas Comoros Concern Worldwide Conservation Jobs Consolidated Bank of Kenya DHL Express Ewaso Ngiro South River Basin Development Authority Geologist Gulf African Bank INSTITUTE OF ADULT EDUCATION Jomo Kenyatta University of Agriculture and Technology Kabale University Kabale University (KAB) Kenya Ports Authority KickStart International MORUWASA Morogoro Urban Water and Sanitation Authority MSH Management Sciences for Health Mumias Sugar Company Nairobi Hospital Nkumba University Rural Electrification Agency SOKINE UNIVERSITY SONGWE STAMIGOLD Stores TACAIDS TARURA TCU Tanzania Commission for Universities Tullow Oil World Lung Foundation (WLF) ALAF Limited Aga Khan Development Network (AKDN) Aga Khan Hospital Air Malawi American Refuge Committee BENKI YA POSTA - TPB BANK BTC Belgian Technical Cooperation Bhttp://www.blogger.com/img/blank.gifank of Tanzania Bioversity International CHF International Customer Service Jobs DANGOTE DIT DAR ES SALAAM INSTITUTE OF TECHNOLOGY Danida Dar es Salaam Institute of Technology Daystar University ECOBANK ETDCO Electrical Transmission and Distribution Construction and Maintenance Company European Union IFM INSTITUTE OF FINANCE MANAGEMENT INSURANCE JOBS - BIMA ITECH Internews® Network KUITWA KAZINI Kenya Accreditation Service Kenya Polytechnic University College Kilombero Sugar Company Kisii University College Kisumu Laboratory Jobs MSD MEDICAL STORES DEPARTMENT MSF Switzerland Management Sciences for Health Manyara Maseno University Ministry of State for Planning Muteesa 1 Royal University Médecins Sans Frontières NIDA National Identification Authority Narok University College OSHA Occupational safety and Health Authority Open Society Initiative for Eastern Africa (OSIEA) PA PAC PEPSI POLICE - POLISI Petroleum EngineerS RWANDA HOUSING AUTHORITY Seychelles Songas TBC TANZANIA BROADCASTING CORPORATION TBS TANZANIA BUREAU OF STANDARDS TFDA TANZANIA FOOD AND DRUGS AUTHORITY TIB - Tanzania Investment Bank Tanzania Mortagage Refinance Company Tanzania Teachers’ Union Transmara Sugar Company Tropical Pesticides Research Institute Tumba College of Technology Twiga Cement UNESCO UNOCHA Umma University University WRP Walter Reed Project ZANTEL ao uga
Powered by Blogger.